Lakini kama mume wake akisikia jambo hilo, akimupinga, basi huyo mume wake atavunja kiapo cha muke wake na maneno yale aliyosema bila kufikiri; naye Yawe atamusamehe.
Mume wake Elekana, akamujibu: “Fanya unaloona linafaa. Ngojea mpaka utakapomwachisha mutoto kunyonya. Yawe afanye kiapo chako kuwa kweli.” Basi, Hana alibaki kwake, akaendelea kumulea mutoto wake mpaka alipomwachisha kunyonya.