48 na feza hizo kwa ajili ya malipo ya hao waliozidi hesabu yao utamupa Haruni na wana wake.
utapokea kwa kila mwanaume feza shekeli tano, kulingana na kipimo cha Pahali Patakatifu, ambayo ni sawa na gera makumi mbili,
Musa akatii, akatwaa feza hizo za malipo ya hao waliozidi hesabu ya waliolipiwa na Walawi;
akawapa Haruni na wana wake feza hizo za malipo sawa na neno la Yawe, kama vile alivyomwamuru.