36 Wao walipewa kazi ya kutunza mbao za hema takatifu, miti yake, nguzo, vitako na vifaa vyote vya kushikilia hema; kazi zote zilizoelekea vitu hivi zilikuwa juu yao.
Utalitundika pazia kwenye nguzo ine za mujohoro zilizopakwa zahabu, zenye vifungio vya zahabu na vikalio vine vya feza.
Vilevile utatengeneza nguzo tano za mujohoro na kuzipakaa zahabu. Nguzo hizo zitakuwa na vifungio vya zahabu, na kila moja itakuwa na tako la shaba.
kutengeneza hema takatifu, kifuniko chake na pazia lake, vifungio vyake, miti yake, vikalio vyake;
misumari ya hema takatifu na ya kiwanja pamoja na kamba zake;
Alitengeneza nguzo ine za mujohoro, akazipakaa zahabu na kuzitilia vifungio vya zahabu. Vilevile alizifanyia vikalio vine vya feza.
Wakamuletea Musa hema takatifu pamoja na vyombo vyake vyote, vifungio vyake, mbao zake, miti yake, nguzo zake na vikalio vyake;
Mukubwa wa ukoo wa jamaa za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa watapiga kambi yao upande wa kaskazini wa hema takatifu.
Vielvile walihitajika kutunza nguzo za upango zilizouzunguka na vitako vyake, misumari na kamba zake.
na Wamerari wakapewa magari mane na ngombe dume wanane kwa kuwasaidia katika kazi zao zote chini ya uongozi wa Itamari mwana wa kuhani Haruni.