Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 3:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 naye Elisafani, akiwa mukubwa wa ukoo huo wa jamaa za Wakohati.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 3:30
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wana wa Uzieli walikuwa: Misaeli, Elisafani na Sitri.


Basi, Musa akawaita Misaeli na Elisafani, wana wa Uzieli, baba mudogo wa Haruni, akawaambia wakuje kuondoa maiti za wandugu zao kutoka Pahali Patakatifu na kuzipeleka inje ya kambi.


Jamaa za Waamuramu, Waisari, Wahebroni na Wauzieli zilitokana na Kohati; hizi ndizo zilizokuwa jamaa za Wakohati.


Jamaa za wana wa Kohati watapiga kambi yao upande wa kusini wa hema takatifu,


Wao walioshugulika na kazi ya kutunza Sanduku la Agano, meza, kinara cha taa, mazabahu, vyombo makuhani wanavyotumia hema takatifu na pazia; kazi zote zilizoelekea vitu hivi zilikuwa zao.


Kisha Haruni na wana wake kufunika Pahali Patakatifu pamoja na vyombo na vifaa vyake vyote, wakiwa tayari kuanza safari, watu wa ukoo wa Kohati watakuja na kuvibeba. Lakini wao, hawaruhusiwi kabisa kugusa vyombo hivyo vitakatifu, kusudi wasikufe. Hiyo ndiyo kazi ya ukoo wa Kohati kila wakati hema la mukutano linapohamishwa.


Hii ndiyo itakayokuwa kazi ya wana wa Kohati, kuelekea vitu vitakatifu kabisa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ