Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 3:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Jamaa za Waamuramu, Waisari, Wahebroni na Wauzieli zilitokana na Kohati; hizi ndizo zilizokuwa jamaa za Wakohati.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 3:27
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wana wa Kohati walikuwa wane: Amuramu, Isari, Hebroni na Usieli.


Vilevile kazi ziligawanywa kwa watu wa ukoo za Waamuramu, Waisihari, Wahebroni na Wauzieli.


Kati ya watu wa ukoo wa Hebroni, Hasabia na wandugu zake elfu moja na mia saba, wote watu mashujaa walipewa kazi ya kusimamia sehemu za inchi ya Israeli zilizokuwa upande wa magaribi wa muto Yordani. Walisimamia kazi yote ya Yawe na kazi za mufalme Daudi.


Yule mutu akaniambia hivi: Chumba hiki kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani wanaotumika katika nyumba ya Yawe,


Wana wa Kohati kwa kufuata jamaa zao: Amuramu, Isihari, Hebroni na Uzieli.


mapazia ya upango unaokuwa kati ya hema takatifu na mazabahu, na pazia la mulango wa upango, na kamba zake. Kazi zote zilizoelekea vitu hivi zilikuwa zao.


Kadiri ya hesabu ya wanaume wote kuanzia wenye umri wa mwezi mumoja na zaidi ilikuwa elfu nane na mia sita, waliotumika katika Pahali Patakatifu.


Uhesabu watu wa ukoo wa Kohati, toka katika ukoo za Lawi, kufuatana na jamaa zao na ukoo zao;


Watu wa ukoo wa Kohati waliobaki wakapewa miji kumi inayokuwa katika maeneo ya makabila ya Efuraimu, Dani na katika eneo la nusu ya kabila la Manase.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ