Kati ya watu wa ukoo wa Hebroni, Hasabia na wandugu zake elfu moja na mia saba, wote watu mashujaa walipewa kazi ya kusimamia sehemu za inchi ya Israeli zilizokuwa upande wa magaribi wa muto Yordani. Walisimamia kazi yote ya Yawe na kazi za mufalme Daudi.
mapazia ya upango unaokuwa kati ya hema takatifu na mazabahu, na pazia la mulango wa upango, na kamba zake. Kazi zote zilizoelekea vitu hivi zilikuwa zao.