24 naye Eliasafu mwana wa Laeli akiwa mukubwa wa ukoo wa Wagersoni.
Ilipasa kwa jamaa za Wagersoni kupiga kambi yao upande wa magaribi, nyuma ya hema takatifu
Kazi ya wana wa Gersoni ilikuwa kutunza hema takatifu, hema pamoja na kifuniko chake, pazia la mulango wa hema la mukutano,
Uhesabu watu wa ukoo wa Gersoni kufuatana na jamaa na ukoo zao;