23 Ilipasa kwa jamaa za Wagersoni kupiga kambi yao upande wa magaribi, nyuma ya hema takatifu
Lakini Walawi watapiga kambi zao kuzunguka hema la kuchunga vibao vya agano kusudi walilinde na kasirani yangu isiwake juu ya Waisraeli.
Halafu, kambi ya kabila la Walawi likiwa katikati ya kambi zote nao wakibeba hilo hema la mukutano wataondoka; kila kundi likisafiri kwa kufuata nafasi yake kwa bendera.
Hesabu yao kwa kadiri ya hesabu ya wanaume wote kuanzia waliokuwa na mwezi mumoja na zaidi ni elfu saba na mia tano.
naye Eliasafu mwana wa Laeli akiwa mukubwa wa ukoo wa Wagersoni.