Hesabu 3:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200220 Wana wa Merari kwa kufuata jamaa zao: Mali na Musi. Hizi zilikuwa jamaa za Walawi kulingana na ukoo zao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Walawi hawa wakaanza kazi: wa ukoo wa Kohati: Mahati mwana wa Amasai na Yoeli mwana wa Azaria; wa ukoo wa Merari: Kisi mwana wa Abudi na Azaria mwana wa Yehaleli; wa ukoo wa Gersoni: Yoa mwana wa Zima, na Edeni mwana wa Yoa; wa ukoo wa Elisafani: Simori na Yeneli; wa ukoo wa Hemani: Zakaria na Matania; wa ukoo wa Yedutuni: Semaya na Uzieli.