14 Yawe akamwambia Musa katika jangwa la Sinai:
Lawi alikuwa na wana watatu: Gersoni, Kohati na Merari.
Siku ya kwanza ya mwezi wa tatu tangu walipotoka katika inchi ya Misri, watu wa Israeli wakafika katika jangwa la Sinai.
Lakini Walawi hawakuhesabiwa pamoja na yale makabila mengine,