8 Kisha uwaambie Waisraeli kwamba mutu yeyote akikufa bila kuacha mutoto mwanaume, urizi wake utapewa kwa binti yake.
Wanachosema wabinti za Selofehadi ni kweli; uwape urizi pamoja na wandugu za baba yao, watwae urizi wake.
Ikiwa hana binti, basi urizi huo utapewa kwa wandugu zake wanaume.