Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 27:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kisha akamwekea mikono juu ya kichwa na kumupa mamlaka kama vile alivyoagizwa na Yawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 27:23
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akamwambia Musa: Umutwae Yoshua mwana wa Nuni, mutu mwenye roho nzuri, kisha uweke mikono juu yake,


na kumusimamisha mbele ya kuhani Eleazari na watu wote, umupatie kazi hiyo.


Musa akafanya kama vile alivyoamriwa na Yawe. Akamutwaa Yoshua na kumusimamisha mbele ya kuhani Eleazari na Waisraeli wote.


“Kisha nikamwamuru Yoshua: ‘Wewe umeona kwa macho yako mambo yote ambayo Yawe, Mungu wako, amewatendea wafalme hawa wawili, Sihoni na Ogi. Basi, yeye atawatendea vile vile wafalme wa inchi zote mutakazopitia.


Lakini umupe Yoshua maagizo, umutie moyo na kumwimarisha, maana yeye ndiye atakayewaongoza watu hawa mpaka ngambo, kurizi inchi utakayoiona’.


Kisha Yawe akamwagiza Yoshua, mwana wa Nuni, akamwambia: “Ukuwe imara na hodari, maana utawaongoza Waisraeli katika inchi ambayo nimewaapia kuwapa, nami nitakuwa pamoja nawe.”


Yoshua mwana wa Nuni akajaa roho ya hekima, kwa sababu Musa alikuwa amemuwekea mikono yake. Hivyo Waisraeli wakamutii Yoshua na kufuata amri ambazo Yawe alimupa Musa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ