Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 27:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 na kumusimamisha mbele ya kuhani Eleazari na watu wote, umupatie kazi hiyo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 27:19
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Umupe sehemu ya mamlaka yako kusudi Waisraeli wote wamutii.


Lakini umupe Yoshua maagizo, umutie moyo na kumwimarisha, maana yeye ndiye atakayewaongoza watu hawa mpaka ngambo, kurizi inchi utakayoiona’.


Kisha Yawe akamwagiza Yoshua, mwana wa Nuni, akamwambia: “Ukuwe imara na hodari, maana utawaongoza Waisraeli katika inchi ambayo nimewaapia kuwapa, nami nitakuwa pamoja nawe.”


Yawe, Mungu wenu, atawatangulia na kuyaangamiza mataifa yanayoishi huko, kusudi murizi inchi yao. Yoshua atakuwa kiongozi wenu kama vile Yawe alivyosema.


Mumwambie Arkipo aangalie vizuri atimize kazi ile aliyopewa na Bwana.


Ninakuagiza mbele ya Mungu na mbele ya Kristo Yesu na ya wamalaika watakatifu, ushike kanuni hizo bila kuwazia mutu kitu wala kuwa na upendeleo katika mambo yote unayofanya.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ