Hesabu 27:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 kwa sababu hamukuitii amri yangu kule katika jangwa la Sini, wakati watu wote pamoja waliponigombanisha kule Meriba. Ninyi hamukuacha utukufu wangu uonekane mbele yao walipotaka wapewe maji. (Meriba ni chemichemi ya maji ya Kadesi katika jangwa la Sini). အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |