Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 26:56 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

56 Urizi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 26:56
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutaigawanya kuwa mali yenu. Wageni watakaokaa kati yenu, wale watakaozalia watoto kati yenu, wapewe vilevile sehemu ya inchi munapoigawanya. Hao wanapaswa kutendewa kama wanainchi wa Israeli na wana haki ya kupiga kura kwa kupata sehemu ya inchi pamoja na makabila ya Waisraeli.


Hata hivyo ugawanyaji wa inchi utafanywa kwa kura. Kila kabila litarizi kulingana na majina ya ukoo wao.


Hizi ndizo ukoo za Walawi zilizohesabiwa na jamaa zao Gersoni, Kohati na Merari,


Nini basi? Taifa la Waisraeli halikupata kile walichokitafuta. Ni wachache tu ambao Mungu aliwachagua ndio waliokipata. Lakini wengine waliobaki, walifanywa kuwa wagumu,


Kuna zawadi mbalimbali, lakini ni Roho mumoja anayezitoa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ