Hesabu ya miji mutakayowapa Walawi katika urizi wa Waisraeli itategemea ukubwa wa kabila; kabila kubwa litatoa miji mingi na kabila dogo litatoa michache. Kila kabila litatoa miji yake kwa ajili ya Walawi kulingana na eneo litakalorizi.
Watu wa kabila la Yosefu walimwendea Yoshua, wakamwambia: “Kwa nini umetugawanyia sehemu moja tu ya inchi sisi ambao Yawe ametubariki hata akatufanya tukuwe wengi sana?”