Waisraeli waliondoka katika muji wa Ramesesi, wakasafiri kwa miguu kuelekea Sukoti. Walikuwa wanaume yapata elfu mia sita, bila kuhesabu wanawake na watoto.
Kila mutu aliyehesabiwa tangu umri wa miaka makumi mbili na moja na zaidi alitoa muchango wake wa feza grama tano. Wanaume wote waliohesabiwa walikuwa elfu mia sita na tatu na mia tano na makuni tano.
Lakini Musa akamwambia Yawe: Hesabu ya watu ninaowaongoza hapa ni elfu mia sita wanaoenda kwa miguu, nawe unasema: Nitawapa nyama ya kuwatosha mwezi muzima!