Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 26:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kwanza ni kabila la Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Yakobo. Hanoki, Palu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 26:5
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lea akapata mimba, akazaa mutoto mwanaume, akamwita Rubeni, akisema: “Yawe ameona mateso yangu; bila shaka sasa mume wangu atanipenda.”


Wakati Israeli alipokuwa anakaa katika inchi ile, mwana wake Rubeni, akalala na Biliha, habara ya baba yake. Naye Israeli akasikia habari hizo. Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili.


Wana wa Lea walikuwa Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Yakobo, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari na Zabuluni.


Hawa ndio wazao wa Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Israeli. (Ingawa Rubeni alikuwa muzaliwa wa kwanza haki yake ya muzaliwa wa kwanza ilipewa kwa ndugu yake Yosefu kwa sababu Rubeni alilala na habara wa baba yake. Kwa hiyo, yeye hakutiwa katika hesabu ya ukoo kulingana na haki yake ya muzaliwa wa kwanza.


Wana wa Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: Hanoki, Palu, Hesironi na Karmi.


Haya ndiyo majina ya wakubwa wa jamaa za Waisraeli. Wana wa Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Israeli: Hanoki, Palu, Hesironi na Karmi. Hao walikuwa babu za jamaa za Rubeni.


Kwa kila kabila la Israeli, walihesabu watu kulingana na jamaa zao na ukoo zao. Waliandika majina ya kila mwanaume aliyekuwa na umri wa miaka makumi mbili na zaidi, aliyefaa kuingia katika jeshi. Hii ni hesabu yao kulingana na kabila yao. Kabila la Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Israeli: elfu makumi ine na sita na mia tano. Kabila la Simeoni: elfu makumi tano na tisa na mia tatu. Kabila la Gadi: elfu makumi ine na tano mia sita na makumi tano. Kabila la Yuda: elfu makumi saba na ine na mia sita. Kabila la Isakari: elfu makumi tano na ine na mia ine. Kabila la Zebuluni: elfu makumi tano na saba mia ine. Kabila la Efuraimu: elfu makumi ine na mia tano. Kabila la Manase: elfu makumi tatu na mbili na mia mbili. Kabila la Benjamina: elfu makumi tatu na tano na mia ine. Kabila la Dani: elfu makumi sita na mbili na mia saba. Kabila la Aseri: elfu makumi ine na mumoja na mia tano. Kabila la Nafutali: elfu makumi tano na tatu na mia nane.


Muhesabu watu kuanzia na wenye umri wa miaka makumi mbili na zaidi, kama vile Yawe alivyomwamuru Musa. Hesabu ya Waisraeli waliotoka Misri ni hii:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ