41 Hizo ndizo ukoo za Benjamina, jumla wanaume elfu makumi ine na tano mia sita.
Wana wa Benjamina walikuwa Bela, Bekeri, Asibeli, Gera, Namani, Ehi, Rosi, Mupimu, Hupimu na Ardi.
Ukoo za Ardi na Namani, zilitokana na Bela.
Kabila la Dani lilikuwa na jamaa ya Suhamu;
Watu wa kabila la Benjamina wakakusanya kutokea miji yao jeshi la watu elfu makumi mbili na sita wenye kutumia silaha, nao wakaaji wa muji wa Gibea wakakusanya watu mia saba waliochaguliwa.