Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 26:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Ukoo wa Erani ulikuwa na jamaa ya Sutela.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 26:36
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hawa ndio wazao wa Efuraimu: Sutela alizaa Beredi, Beredi alizaa Tahati, Tahati alizaa Eleada, Eleada alizaa Tohati, Tohati alizaa Zabadi, Zabadi alizaa Sutela. Zaidi ya hao, Efuraimu alikuwa na wana wengine wawili, Ezeri, na Eleadi, ambao waliuawa na wenyeji wa asili wa inchi ya Gati kwa sababu walikwenda kule kuwanyanganya ngombe zao.


Kabila la Efuraimu lilikuwa na jamaa za Sutela, Bekeri na Tahani.


Hizo ndizo ukoo za Efuraimu, jumla wanaume elfu makumi tatu na mbili mia tano. Zote hizo zilitokana na Yosefu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ