Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 26:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Pamoja na hayo wana wa Kora hawakukufa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 26:11
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uzao wa Kohati: Kohati alizaa Aminadabu, Aminadabu alizaa Kora, Kora alizaa Asiri, Asiri alizaa Elekana, Elekana alizaa Ebiasafi, Ebiasafi alizaa Asiri, Asiri alizaa Tahati, Tahati alizaa Urieli, Urieli alizaa Usia, Usia alizaa Saulo.


Salumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, pamoja na wandugu zake wa ukoo wa Kora, walikuwa na kazi ya kutunza viingilio vya hema la mukutano, kama vile babu zake walivyokuwa wakati wa ulinzi wa kambi ya Yawe.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Mashairi ya Wakora.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Mashairi ya Wakora.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo: “Mayungiyungi.” Mashairi ya Wakora. Wimbo wa mapenzi.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Wakora: Kwa mutindo wa Sauti ya juu kabisa.


Kutoka Mukubwa wa Wakora. Zaburi ya Wakora.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Wakora.


Zaburi ya Asafu. Mungu, Mungu Yawe, amesema, amewaita wakaaji wa dunia, tokea magaribi mpaka mashariki.


Nao wana wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu, ambao walikuwa babu za jamaa za Kora.


Watu wakaondoka kwenye makao ya Kora, Datani na Abiramu. Datani na Abiramu wakatoka katika mahema yao na kusimama kwenye mulango wakiandamana na wake zao na watoto wao wote hata wale wanaonyonya.


na kuwameza watu hao, jamaa zao, pamoja na wafuasi wote wa Kora na mali zao zote.


Basi, wao, pamoja na vyote vilivyokuwa vyao wakashuka kuzimu wakiwa wangali wazima. Udongo ukawafunika, wote wakatoweka.


Kisha akamwambia Kora na wafuasi wake: Kesho asubui, Yawe ataonyesha ni nani anayekuwa wake na ni nani anayekuwa mutakatifu, na yule atakayemuchagua, atamuwezesha kukaribia kwenye mazabahu.


Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,


na mambo aliyowatendea Datani na Abiramu, wana wa Eliabu, mwana wa Rubeni. Mukumbuke jinsi mbele ya watu wote wa Israeli udongo ulivyofunguka na kuwameza pamoja na jamaa zao, mahema yao, nyama na watumishi wao wote.


“Wazazi wasiuawe kwa makosa ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Kila mutu atauawa kwa makosa yake mwenyewe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ