1 Kisha ule ugonjwa, Yawe akamwambia Musa na Eleazari mwana wa kuhani Haruni.
kama vile Yawe alivyomwamuru Musa. Musa akawahesabu watu hawa kule katika jangwa la Sinai.
kwa sababu waliwachokoza ninyi kwa werevu wao, ambao kwa njia yake wamewadanganya katika jambo la Peori, na kwa sababu ya Kozibi, binti yao, aliyeuawa wakati ugonjwa mukali ulipotokea kule Peori.
Waliokufa kutokana na ugonjwa ule mukali walikuwa watu elfu makumi mbili na ine.