Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 25:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Musa akawaambia waamuzi wa Israeli: Kila mumoja wenu amwue mutu yeyote kati yenu ambaye amejiunga na mungu Bali wa Peori.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 25:5
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Elia akawaambia: “Muwakamate manabii wote wa Bali. Musimwache hata mumoja wao atoroke!” Basi, watu wakawakamata wote, naye Elia akawapeleka kwenye muto Kisoni, akawauia kule.


Lakini juu ya mambo mengine, chagua kati ya watu wote, watu wanaostahili, watu wanaomwogopa Mungu, waaminifu na wanaochukia kituliro. Uwape hao mamlaka, wakuwe na kazi ya kuwasimamia watu katika makundi ya watu elfu, mia, makumi tano na kumikumi.


Musimwonelee mugeni wala kumutesa, maana nanyi vilevile mulikuwa wageni katika inchi ya Misri.


Ndivyo Waisraeli walivyojiunga na mungu Bali wa Peori, nayo hasira ya Yawe ikawaka juu yao.


“Mutakapoishi katika miji ambayo Yawe, Mungu wenu anawapa, labda mutasikia


basi mutapeleleza na kufanya uchunguzi na kuuliza kwa uangalifu. Na kama ni kweli kwamba jambo la kuchukiza limetendeka kati yenu,


Lakini nabii huyo au mutabiri wa kutumia ndoto atauawa, kwa sababu atakuwa amewafundisha uasi mbele ya Yawe, Mungu wenu, aliyewatoa katika inchi ya Misri na kuwakomboa kutoka katika utumwa, kusudi muache njia ambayo Yawe, Mungu wenu, aliwaamuru kufuata. Hivi ndivyo mutakavyokomesha uovu kati yenu.


usikubali kushawishiwa wala kumusikiliza, au kumuhurumia wala usimwachilie wala usimufiche;


Zambi tulizotenda kule Peori hazitoshi? Hamwoni kwamba bado hatujajitakasa na kwamba mateso yake bado yanaisumbua watu wa Yawe?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ