Hesabu 24:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Mungu aliwaondoa kutoka Misri, naye anawapigania kwa nguvu kama mbogo. Atayateketeza mataifa yanayokuwa waadui zao, atavunjavunja mifupa yao, atawachoma kwa mishale yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |