22 Lakini mutateketezwa, enyi Wakeni. Mutapelekwa mateka na Asuria mpaka wakati gani?
Kutoka kule, Nimurodi alikwenda Asuria, akajenga miji ya Ninawe, Rehoboti-Iri, Kala na
Semu, mukubwa wa Yafeti, alikuwa baba ya Waebrania wote.
Wana wa Semu walikuwa Elamu, Asuri, Aripakisadi, Ludi na Aramu.
ni kusema inchi za Wakeni, Wakenizi, Wakadimoni,
wakamwendea Zerubabeli na viongozi wa ukoo, na kumwambia: “Tafazali tushirikiane katika ujenzi wa hekalu. Sisi kama vile ninyi tunamwabudu Mungu wenu, na tumekuwa tukimutolea sadaka tangu zamani za Esari-Hadoni, mufalme wa Asuria aliyetuleta hapa.”
Wagebali, Waamoni na Waamaleki, Wafilistini na wakaaji wa Tiro.
Muombe huruma kwake, mumurudilie na kumwambia: Utusamehe uovu wote, upokee zawadi zetu, nasi tutakusifu kwa moyo.
Tena Balamu akatoa mashairi haya: Ole! Nani ataishi Mungu atakapofanya hayo?