Hesabu 24:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Niliwaambia kwamba hata kama ungenipa nyumba yako imejaa feza na zahabu, mimi sitaweza kubadilisha agizo la Yawe, kwa kufanya jambo lolote, jema au baya kwa mapenzi yangu mwenyewe. Nilisema kwamba atakachosema Yawe ndicho nitakachosema. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |