Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 23:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Halafu, Balamu akamutolea Balaki mashairi yake: Simama, Balaki, usikie! Unisikilize, ewe mwana wa Sipori!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 23:18
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Balamu akarudi, akamukuta Balaki amesimama karibu na sadaka ya kuteketezwa pamoja na wakubwa wote wa Moabu. Balaki akamwuliza: Yawe amekuambia nini?


Mungu si mutu, hata aseme uongo, wala si mwanadamu, hata abadilishe nia yake! Ataahidi kitu na asikifanye, au kusema kitu asikitimize?


Naye Ehudu akamukaribia pale alipokaa katika chumba chake chenye baridi katika baraza, akamwambia: “Nina ujumbe wako kutoka kwa Mungu.” Mufalme akasimama toka juu ya kiti chake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ