Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 22:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kisha Mungu alimufikia Balamu, akamwuliza: Ni nani hawa wanaokaa nawe?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 22:9
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Malaika akamwuliza: “Hagari, mujakazi wa Sarai! Unatoka wapi na unakwenda wapi?” Hagari akamujibu: “Ninamukimbia bibi mukubwa wangu Sarai.”


Lakini Mungu akamufikia Abimeleki katika ndoto usiku, akamwambia: “Wewe utakufa kwa sababu ya mwanamuke uliyemutwaa, maana yuko na mume wake.”


Lakini usiku, Mungu akamutokea Labani wa Aramu katika ndoto, akamwambia: “Ujichunge! Usimwambie Yakobo neno lolote, jema au baya.”


Yawe akamwuliza Kaina: “Ndugu yako Abeli yuko wapi?” Kaina akamujibu: “Mimi sijui! Mimi ni mulinzi wa ndugu yangu?”


Halafu Yosefu akamwambia mufalme: “Ndoto zako zote mbili zina maana moja tu. Mungu amekufunulia mambo atakayofanya sasa hivi.


Yawe akamwambia Musa: “Unashika nini katika mukono wako?” Musa akamwambia: “Fimbo.”


Uliliona jiwe lililoongoka lenyewe toka kwenye mulima, bila kuguswa, na jinsi lilivyoivunja vipandevipande ile sanamu iliyotengenezwa kwa chuma, shaba, udongo wa mufinyanzi, feza na zahabu. Ee mufalme, Mungu Mukubwa amekufunulia mambo yatakayotukia nyuma. Ni mimi ninayekuelezea hivyo. Ndoto yako ni ya kweli na maana yake ni ya kuaminiwa.


Balamu akamujibu Mungu: Balaki mwana wa Sipori amenitumia ujumbe kwamba


Basi, Mungu akamufikia Balamu usiku ule, akamwambia: Kama watu hawa wamekuja kukuita, kwenda pamoja nao, lakini fanya tu kile nitakachokuambia.


Balamu akawaambia: Mulale huku usiku huu, nami nitawajulisha vile Yawe atakayoniambia. Basi, wazee hao wa Moabu wakakaa na Balamu.


kwa maana kutatokea watu wanaojiita kwa uongo ‘Kristo’ pamoja na manabii wa uongo, nao wataonyesha vitambulisho vikubwa na maajabu, hata ikiwezekana, wawadanganye hata watu waliochaguliwa na Mungu.


Siku ile ya hukumu itakapotimia, wengi wataniambia: ‘Bwana, Bwana, sisi hatukutangaza ujumbe wa Mungu? Nasi hatukufukuza pepo kwa jina lako na kufanya maajabu mengi kwa jina lako?’


(Yeye hakusema maneno haya kutokana na mawazo yake mwenyewe; lakini kwa maana yeye ndiye aliyekuwa Kuhani Mukubwa mwaka ule, alitabiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa la Wayuda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ