Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 22:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi Wamoabu wakawaambia viongozi wa Midiani: Makundi haya ya watu sasa hivi yataharibu kila kitu kandokando yetu kama vile ngombe dume anavyokula majani katika shamba. Kwa hiyo, Balaki mwana wa Sipori aliyekuwa mufalme wa Moabu wakati ule,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 22:4
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hadadi na wenzake walisafiri kutoka Midiani, wakawakamata watu wengine kule Parani, wakaenda nao mpaka Misri, kwa mufalme wa Misri. Yeye akamupatia Hadadi nyumba, shamba, na chakula.


Wakubwa wa Edomu wamefazaishwa; viongozi wa Moabu wamepatwa na woga mukubwa; wakaaji wote wa Kanana wamevunjika moyo.


Juu ya nyumba za Moabu na katika viwanja vyao hakuna kinachosikilika lakini maombolezo tu. Mimi nimemuvunja Moabu kama chombo kisichotakiwa na mutu. –Ni ujumbe wa Yawe.


Mufalme Balaki mwana wa Sipori, alijua mambo yote Waisraeli waliyowatendea Waamori.


Basi, wazee wa Moabu na Midiani wakapeleka zawadi za uaguzi, wakaondoka kwenda kwa Balamu. Walifika, wakamupa Balamu ujumbe wa Balaki.


Ninamwona atakayekuja, ninamwona, lakini hayuko karibu. Nyota itatokea kwa wazao wa Yakobo, atatokea mufalme kati ya Waisraeli. Kwa fimbo yake atapiga viongozi wa Wamoabu, atawaangamiza wazao wote wa Seti.


Wakati huohuo mutu mumoja akamuleta mwanamuke mumoja Mumidiani katika nyumba yake, Musa na Waisraeli wote pamoja wakiwa wanaomboleza kwenye mulango wa hema la mukutano.


Kati ya watu hao waliouawa, kulikuwa wafalme watano wa Midiani: Ewi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile wakamwua Balamu mwana wa Beori.


Unazani wewe una nguvu kuliko Balaki mwana wa Sipori aliyekuwa mufalme wa Moabu? Yeye hakushindana na Waisraeli au kupigana nao.


Waisraeli walitenda uovu mbele ya Yawe; naye akawatia katika mikono ya Wamidiani kwa muda wa miaka saba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ