Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 22:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Balamu akamwambia punda: Wewe umenichekelea! Kama ningekuwa na upanga ningalikuua sasa hivi!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 22:29
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Labani akasema: “Sawa! Ikuwe kama vile ulivyosema.”


Mutu mwenye haki anajali nyama wake, lakini huruma za waovu ni kutesa tu.


Ujinga wa mupumbafu unajulikana mara moja, lakini mwerevu anazarau matusi.


Hili ni jambo baya zaidi kati ya yote yanayotukia hapa chini ya jua, kwamba mwisho uleule unawapata wote. Tena, wakati wote wa maisha yao, wanadamu wanajaa uovu na wazimu, na kisha wanakufa.


Punda akamwambia Balamu: Mimi si yuleyule punda wako aliyekubeba maisha yako yote mpaka siku hii ya leo? Nimekwisha kukutendea namna hii? Balamu akajibu: Hapana.


Kwa maana ndani ya moyo munatoka mawazo mabaya yanayoleta uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uongo na matukano.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ