Hesabu 22:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Lakini Balamu akawajibu watumishi wa Balaki: Hata kama Balaki atanipa nyumba yake imejaa feza na zahabu, mimi sitaweza kuvunja amri ya Yawe, Mungu wangu, juu ya jambo lolote, dogo au kubwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |