Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 22:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Nitakupatia heshima kubwa, na chochote utakachoniomba nitakutimizia. Kuja uwalaani watu hawa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 22:17
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu akaanza kueleza juu ya utajiri anaokuwa nao, wana anaokuwa nao, jinsi mufalme alivyomupandisha cheo, na jinsi alivyopewa madaraka zaidi kuliko wakubwa wengine wote wa mufalme.


Harbona, mumoja wa wale matowashi waliomutumikia mufalme, akasema: “Hamani amesubutu hata kutengeneza muti wa kumutundikia Mordekayi ambaye aliyaokoa maisha yako, ewe mufalme. Muti huo, wenye urefu wa metre makumi mbili na mbili, bado uko kule katika nyumba yake.” Hapo mufalme akaamuru: “Mumutundike Hamani juu ya muti uleule.”


Hao wakafika kwa Balamu, wakamwambia: Balaki mwana wa Sipori anasema hivi: Usikubali kuzuiwa na chochote hata uache kuja kwangu.


Balaki akamwambia Balamu: Kwa nini haukukuja kwangu mara moja nilipokuita? Ulifikiri sitaweza kukupatia heshima ya kutosha?


Kuja sasa uwalaani watu hawa kwa ajili yangu maana wana nguvu kuliko mimi. Labda nitaweza kuwashinda na kuwafukuza wasiingie katika inchi yangu, kwa maana unajua kwamba wewe ukimubariki mutu anabarikiwa, ukimulaani mutu analaaniwa.


Sasa! Kwenda zako. Nilikuwa nimekuahidi kukupa zawadi nyingi, lakini Yawe hakukujalia kupata zawadi hizo, amekunyima!


hata akamwahidi kwa kiapo kwamba atamupa kitu chochote atakachomwomba.


Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake? Hakuna kitu mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.


“Mutahesabu majuma saba; mutaanza kuyahesabu tangu munapoanza kuvuna ngano.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ