Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 21:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Lakini sasa wazao wao wameangamizwa, kutoka Hesiboni mpaka Diboni, kutoka Nasimu mpaka Nofa, karibu na Medeba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 21:30
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wapiga mishale walimushambulia vikali, wakamutupia mishale na kumusumbua sana.


Halafu wakatupiga mishale sisi watumishi wako kutoka juu ya ukuta. Watumishi wako wamoja waliuawa. Hata mutumishi wako Uria wa Hiti, naye amekufa.”


Walikopesha magari elfu makumi tatu na mawili, na mufalme wa Maka na waaskari wake akakuja na kupiga kambi karibu na Medeba. Waamoni walikusanyika toka kwenye miji yao yote, wakajiweka tayari kwa vita.


Yawe alinguruma kutoka mbingu; Mungu Mukubwa akatoa sauti yake.


Watu wa Diboni wamepanda katika hekalu pahali pa juu kwa kuomboleza, watu wa Moabu wanalia kwa ajili ya Nebo na Medeba; vichwa vyote vimenyolewa upaa, ndevu zao zote zimekatwa kabisa.


Maji ya Dimoni yamejaa damu, lakini Mungu ataongeza musiba wa Dimoni. Hao wachache watakaobaki wazima na kukimbia kutoka Moabu, watapelekewa simba wa kuwaua.


Enyi wenyeji wa Diboni: mushuke kutoka pahali penu pa utukufu, muikae juu ya udongo usiokuwa na maji. Maana mwangamizaji wa Moabu, amefika kuwashambulia; amekwisha haribu kuta zenu.


Basi, Waisraeli wakakaa katika inchi ya Waamori.


Miji ya Ataroti, Diboni, Yazeri, Nimura, Hesiboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni,


Kabila la Rubeni likaijenga miji ya Diboni, Ataroti, Aroeri,


Ilikuwa vilevile pamoja na Hesiboni na miji yake yote inayokuwa katika sehemu ya bonde: ni kusema Diboni, Bamoti-Bali, Beti-Bali-Meoni,


Eneo lao lilikuwa kuanzia Aroeri kandokando ya bonde la Arnoni na muji ule unaokuwa katikati ya bonde, na inchi ile yote ya bonde tangu Medeba mpaka Diboni,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ