Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 21:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 na kutoka Bamoti mpaka kwenye bonde linaloingia katika inchi ya Moabu, kwenye kilele cha mulima Pisiga, kinachoelekea chini katika jangwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 21:20
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Balaki akamupeleka Balamu mpaka kwenye kilele cha mulima Peori, ambapo mutu akisimama anaona katika jangwa.


Basi, Musa akaondoka kwenye bonde la Moabu, akaenda kwenye mulima Nebo, akapanda juu ya kilele cha Pisiga kinachoelekeana na Yeriko. Hapo Yawe akamwonyesha inchi yote: toka Gileadi mpaka Dani,


pamoja na eneo lote upande wa mashariki wa muto Yordani mpaka bahari ya Chumvi, kwa mwisho wa miteremuko ya mulima Pisiga.


Panda mpaka kwenye kilele cha mulima Pisiga, uangalie vizuri upande wa magaribi, kaskazini, kusini na mashariki, na kuiona inchi hiyo; lakini wewe hautavuka huu muto Yordani.


Musa akaanza kuwaelezea watu sheria ya Mungu wakati walipokuwa upande wa mashariki wa muto Yordani. Akawaambia hivi:


Hao ndio wanaume Waisraeli waliohesabiwa na Musa na kuhani Eleazari katika inchi za mabonde za Moabu, ngambo ya muto Yordani, karibu na Yeriko.


Basi, Balaki akamutwaa Balamu kwenye shamba la Sofimu, juu ya kilele cha mulima Pisiga. Hapo akajenga mazabahu saba na kutoa juu ya kila mazabahu ngombe dume mumoja na kondoo dume mumoja.


Waisraeli wakaanza safari tena, wakaenda kupiga kambi yao katika bonde za Moabu, upande wa mashariki wa muto Yordani, kuelekea muji wa Yeriko.


kutoka Matana mpaka Nahalieli, kutoka Nahalieli mpaka Bamoti,


Waisraeli wakamupelekea mufalme Sihoni wa Waamori, ujumbe huu:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ