12 Kutoka kule wakasafiri wakapiga kambi yao katika bonde la Zeredi.
Kutoka kule wakasafiri mpaka Iye-Abarimu, katika jangwa upande wa mashariki wa Moabu.
Kutoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi yao Diboni-Gadi.
“Kisha Yawe akatuamuru: ‘Basi! Muanze safari. Muvuke bonde la Arnoni. Mimi nimetia katika mikono yenu Sihoni, mufalme wa Waamori wa Hesiboni na inchi yake. Mushambulie na kuanza kurizi inchi yake.