Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 21:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mufalme mumoja Mukanana wa Aradi aliyeishi kule Negebu alipopata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atarimu, akakwenda kuwashambulia na kuwateka wamoja kati yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 21:1
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Abramu akaendelea kusafiri kuelekea upande wa Negebu.


Halafu Waamaleki na Wakanana, waliokuwa wakiishi katika inchi hiyo ya milima, wakashuka, wakawashambulia na kuwashinda. Wakawafukuza mpaka muji wa Horma.


Mufalme wa Aradi, Mukanana, aliyekaa Negebu katika inchi ya Kanana akapata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja.


Kisha Sihoni akatoka na watu wake wote kupigana nasi karibu na muji wa Yahasa.


Watu wa Ai wakawaua Waisraeli makumi tatu na sita na kuwafukuza wengine kutoka mulango wa muji mpaka Sebarimu, wakawaua kwenye muteremuko. Waisraeli wakavunjika moyo na kuregea kama maji.


Wazao wa Keni ambaye alikuwa baba mukwe wa Musa, walifuatana na watu wa kabila la Yuda kutokea Muji wa Miti ya Ngazi, ni kusema muji wa Yeriko, mpaka jangwa la Yuda karibu na Aradi, wakafanya makao yao kule pamoja na watu wa Yuda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ