23 Basi, Yawe akamwambia Musa na Haruni huko kwenye mulima Hori, kwenye mpaka wa inchi ya Edomu:
Haruni atakufa; hataingia katika inchi ambayo nimewapa Waisraeli kwa sababu ninyi wawili muliasi amri yangu kule Meriba.
Kutoka Kadesi, wakapiga kambi yao juu ya mulima Hori, kwenye mupaka wa inchi ya Edomu.