Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 20:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Lakini mufalme wa Edomu akajibu: Hatutawaruhusu. Mara moja, Waedomu wenye nguvu wakatoka kupigana nao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 20:20
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Esau akamuchukia Yakobo kwa sababu ya baraka aliyokuwa amepewa na baba yake. Esau akawaza: “Siku za kilio cha baba zitakapokwisha, ndipo nitakapomwua ndugu yangu Yakobo.”


Nina ngombe, punda, makundi ya kondoo, watumwa na wajakazi. Ninakutumia ujumbe huu, bwana wangu, kusudi nipate kukubaliwa mbele yako.’ ”


Ninaposema kwamba ninataka amani, wao wanataka tu vita.


Yawe anasema hivi: Kwa sababu ya makosa matatu ya watu wa Edomu, hata kwa mane, sitageuza nia yangu. Wamewawinda wandugu zao Waisraeli kwa mapanga, wakaitupilia mbali huruma yao yote ya kindugu. Hasira yao haikuwa na mwisho, waliiacha iwake siku zote.


Lakini mufalme wa Edomu akamujibu: Hapana! Hautapita katika inchi yangu, kama ukipita nitatoka na kukushambulia kwa upanga.


Basi, Waedomu wakakataa kuwapa Waisraeli ruhusa kwa kupita katika mipaka yao. Waisraeli wakageuka na kushika njia ingine.


Kisha Waisraeli wakatuma wajumbe kwa mufalme wa Edomu wakimwomba awaruhusu kupita katika inchi yake, lakini mufalme wa Edomu akakataa. Basi wakamwomba mufalme wa Moabu ruhusa naye vilevile akakataa. Kwa hiyo Waisraeli wakabaki Kadesi.


Lakini Sihoni hakuwakubali Waisraeli wapite katika inchi yake. Basi, Sihoni akakusanya watu wake wote, akapiga kambi kule Yahasa, akawashambulia Waisraeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ