Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 20:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Lakini mufalme wa Edomu akamujibu: Hapana! Hautapita katika inchi yangu, kama ukipita nitatoka na kukushambulia kwa upanga.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 20:18
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Waisraeli wakamwambia: Sisi tutafuata njia kubwa; kama sisi na mifugo yetu tukikunywa maji yenu, tutalipa. Tunachoomba tafazali uturuhusu tu, tupite kwa miguu wala hatutaki neno lolote lingine.


Lakini mufalme wa Edomu akajibu: Hatutawaruhusu. Mara moja, Waedomu wenye nguvu wakatoka kupigana nao.


Lakini Sihoni hakuwaruhusu Waisraeli wapite katika inchi yake. Akawakusanya watu wake, akaenda Yahasa katika jangwa kwa kuwashambulia Waisraeli.


Waisraeli wakafunga safari kutoka mulima Hori, wakapitia njia inayoelekea bahari Nyekundu kusudi wazunguke inchi ya Edomu. Lakini katika njia watu wakavunjika moyo.


Edomu itakuwa urizi wake, Seiri itakuwa mali yake, Israeli itapata ushindi mukubwa.


tuvuke muto Yordani na kuingia katika inchi ambayo Yawe, Mungu wetu anatupatia. Wazao wa Esau wanaoishi Seiri na Wamoabu wanaoishi Ari walituruhusu vilevile kupita katika inchi yao’.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ