Hesabu 20:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200217 Tafazali uturuhusu tupite katika inchi yako. Hatutakanyaga mashamba yenu, wala yale ya mizabibu; wala hatutakunywa maji ya visima vyenu. Tutafuata barabara kubwa ya mufalme na kwenda moja kwa moja bila kugeuka kuume au kushoto, mpaka tutakapotoka katika inchi yako. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |