Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 20:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Tafazali uturuhusu tupite katika inchi yako. Hatutakanyaga mashamba yenu, wala yale ya mizabibu; wala hatutakunywa maji ya visima vyenu. Tutafuata barabara kubwa ya mufalme na kwenda moja kwa moja bila kugeuka kuume au kushoto, mpaka tutakapotoka katika inchi yako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 20:17
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

‘Uturuhusu tupite katika inchi yako. Tutapitia katika barabara na kwenda moja kwa moja bila kugeuka kuume wala kushoto.


tuvuke muto Yordani na kuingia katika inchi ambayo Yawe, Mungu wetu anatupatia. Wazao wa Esau wanaoishi Seiri na Wamoabu wanaoishi Ari walituruhusu vilevile kupita katika inchi yao’.


Mufalme mumoja Mukanana wa Aradi aliyeishi kule Negebu alipopata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atarimu, akakwenda kuwashambulia na kuwateka wamoja kati yao.


Sasa Waamoni, Wamoabu na watu wa mulima Seiri, ambao haukuwaruhusu babu zetu washambulie inchi zao walipotoka Misri, wakapitia kandokando wasiwaangamize,


Chakula chetu tutakinunua kwako na maji ya kunywa vilevile. Tunachoomba tu ni ruhusa ya kupita kwa miguu katika inchi yako,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ