Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 20:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kisha Musa na Haruni wakawakusanya watu wote pamoja mbele ya jiwe, naye Musa akawaambia: Musikilize sasa, enyi waasi; tuwatokezee maji kutoka katika jiwe hili?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 20:10
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakamujibu: “Tuna huzuni kwa sababu tumeota ndoto na hakuna anayeweza kututafsiria ndoto zetu.” Yosefu akawaambia: “Kutafsiri ndoto si kazi ya Mungu? Basi, muniambie ndoto zenu.”


Yosefu akamujibu: “Sina uwezo ule; lakini Mungu atakupa jibu linalofaa.”


Alitiririsha vijito kutoka katika jiwe, nayo maji kama mito.


Angalia mimi nitasimama mbele yako juu ya jiwe la mulima wa Horebu, nawe utapiga lile jiwe na maji yatabubujika kutoka mule kusudi watu wote wapate kunywa.” Basi, Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Waisraeli.


Haruni atakufa; hataingia katika inchi ambayo nimewapa Waisraeli kwa sababu ninyi wawili muliasi amri yangu kule Meriba.


Lakini mimi ninawaambia: mutu yeyote anayemukasirikia ndugu yake anapaswa kuhukumiwa. Naye anayemwambia ndugu yake: ‘Hauna akili wewe!’ anapaswa kupelekwa kwenye tribinali kubwa. Naye anayemwambia: ‘Uko mwenda-wazimu!’ anastahili kutupwa katika jehenamu.


Hivi yule anayepanda na yule anayenyweshea maji, wote si kitu; Mungu ndiye anayekuwa wa lazima kwa maana ni yeye anayeotesha mbegu.


Kama mukikasirika, musianguke katika zambi, kasirani yenu isidumu muchana kutwa,


Ninyi mumekuwa waasi mbele ya Yawe tangu siku nilipowajua.


Sisi wote tunakosa kwa njia mbalimbali. Mutu asiyekosa katika masemi yake, huyo ni mutu mukamilifu, naye yuko na uwezo wa kutawala mwili wake wote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ