7 Kisha kabila la Zebuluni, kiongozi wao akiwa Eliabu mwana wa Heloni,
Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa jeshi la kabila la Zebuluni.
Jeshi lake kulingana na hesabu ni wanaume elfu makumi tano na ine na mia ine.
jeshi lake kulingana na hesabu ni wanaume elfu makumi tano na saba na mia ine.