29 Kisha watu wa kabila la Nafutali, kiongozi wake akiwa Ahira mwana wa Enani,
Halafu Rakeli akasema: “Nimepigana mapigano makubwa na dada yangu, nami nimeshinda.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Nafutali.
Naye Ahira mwana wa Enani, aliongoza kabila la Nafutali.
jeshi lake kulingana na hesabu litakuwa na watu elfu makumi ine na moja na mia tano.
jeshi lake kulingana na hesabu, ni wanaume elfu makumi tano na tatu na mia ine.