26 jeshi lake kulingana na hesabu litakuwa na watu elfu makumi sita na mbili na mia saba.
Kwa upande wa kaskazini, watapiga kambi katika jeshi lake wale wanaokuwa chini ya bendera ya Dani, kiongozi wao atakuwa Ahiezeri, mwana wa Amishadai,
Kisha wale watakaopiga kambi nyuma yao watakuwa watu wa kabila la Aseri, kiongozi wao akiwa Pagieli mwana wa Okrani,
ukoo ulikuwa na wanaume elfu makumi sita na ine mia ine.