Jumla ya watu waliokuwa katika kambi ya Efuraimu kulingana na jeshi lake ni watu elfu mia moja na nane na mia moja. Hawa ndio watakaokuwa katika kundi la tatu.
Watu wa kabila la Benjamina wakakusanya kutokea miji yao jeshi la watu elfu makumi mbili na sita wenye kutumia silaha, nao wakaaji wa muji wa Gibea wakakusanya watu mia saba waliochaguliwa.