13 jeshi lake kulingana na hesabu ni wanaume elfu makumi tano na tisa na mia tatu.
Kisha wale watakaopiga kambi kando ya watu wa Rubeni watakuwa ni watu wa kabila la Simeoni, kiongozi wao akiwa Selumieli mwana wa Suri-Sadai,
Halafu kabila la Gadi, kiongozi wao akiwa Eliasafu mwana wa Reueli,
Hizo ndizo ukoo za kabila la Simeoni, jumla yao wanaume elfu makumi mbili na mbili mia mbili.