Hesabu 19:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200219 Katika siku ya tatu na ya saba, mutu anayekuwa safi atamunyunyizia mutu anayekuwa muchafu maji hayo; hivyo katika siku ya saba, atamutakasa mutu huyo anayekuwa muchafu, naye atafua nguo zake na kuoga, na magaribi atakuwa safi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |