Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 19:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Na hii ndiyo sheria ya kufuatwa kama mutu akikufia ndani ya hema: Kila mutu atakayeingia ndani ya hema hilo, au aliyekuwa ndani ya hema hilo, atakuwa muchafu kwa siku saba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 19:14
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa kuisafisha inchi, Waisraeli watatumia muda wa miezi saba kuzika maiti hizo.


Mumoja wao akijichafua, atakaa na hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.


Hii ndiyo sheria juu ya aina yoyote ya taka la ukoma;


Hiyo ndiyo sheria juu ya mwanaume anayetokwa na usaha na anayetokwa na mbegu za uzazi na kuwa muchafu.


Yawe akamwambia Musa: Uwaambie makuhani, wana wa Haruni, kwamba kusikuwe mutu yeyote kati yao atakayejichafua kwa kugusa maiti ya watu wa jamaa yake,


Asikaribie maiti wala kujichafua kwa maiti hata kama ni ya baba yake au ya mama yake.


Anayegusa maiti, ni kusema mwili wa mutu aliyekufa, asipojitakasa, anachafua hema la Yawe, naye atatengwa na watu wa Israeli. Mutu huyo atabaki muchafu kwa sababu hakunyunyiziwa yale maji ya utakaso.


Kila chombo kinachokuwa wazi ambacho hakina kifuniko juu yake kitakuwa kichafu.


Munapaswa kutakasa vilevile kila nguo, kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa manyoya ya kondoo au kwa muti.


Uwaamuru Waisraeli wamutoe inje ya kambi kila mutu mwenye ukoma, kila mutu anayetokwa usaha, na kila anayekuwa muchafu kwa kugusa maiti.


Siku zote atakazokuwa amejitakasa kwa Yawe, mutu huyo asikaribie maiti,


Kama mutu anakufa kwa rafla karibu na munaziri na kuchafua nywele zake, huyu munaziri atanyoa kichwa chake wakati wa siku ya kutakaswa kwake; atakinyoa katika siku ya saba.


Lakini, watu wamoja waliokuwa pale walikuwa hawawezi kushiriki sikukuu hiyo ya Pasaka kwa sababu walikuwa wamegusa maiti, wakakuwa wachafu. Hao waliwaendea Musa na Haruni,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ