Hesabu 19:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Anayegusa maiti, ni kusema mwili wa mutu aliyekufa, asipojitakasa, anachafua hema la Yawe, naye atatengwa na watu wa Israeli. Mutu huyo atabaki muchafu kwa sababu hakunyunyiziwa yale maji ya utakaso. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |