Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 18:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Lakini wazaliwa wa kwanza wa ngombe, kondoo au mbuzi wasikombolewe; hao ni watakatifu. Damu yao utainyunyizia mazabahu na mafuta yao utayateketeza kuwa sadaka ya kuteketezwa ambayo ni harufu nzuri inayonipendeza mimi Yawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 18:17
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nawe utamuchinja na damu yake utairushia juu ya mazabahu pande zake zote.


Basi, kuhani atanyunyizia damu kwenye mazabahu ya Yawe inayokuwa kwenye mulango wa hema la mukutano na kuteketeza yale mafuta yakuwe harufu nzuri ya kumupendeza Yawe.


Wazaliwa hao wa kwanza watakombolewa wakiwa wenye umri wa mwezi mumoja kwa kulipiwa feza shekeli tano, kulingana na vipimo vya hema takatifu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ