Hesabu 17:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Basi, Haruni akafanya kama vile alivyoambiwa na Musa. Akatwaa chetezo chake na kukimbia mpaka katikati ya watu waliokuwa wamekusanyika pamoja. Alipoona kwamba pigo limekwisha kuanza, akatia ubani katika chetezo na kuwafanyia watu upatanisho. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |